NA HII NDIO ZIMBABWE YA JOGOO MUGABE
Mmoja kati ya wenye kusoma ananena yalio moyoni,

Kwa kuwa yeye ni mzoefu upande wa kujiweka sawa panapo kuchwa akaagiza na arage ili mambo yawe sawa bin sawiya na mchana upite wima kama daladala lililouza kituo,
Mambo yote hayakuwa kama yalivyotarajiwa na badala yake HUNDRED TRILLION Ilimalizika na msela ajashiba na mchana haukuwa wenye kushedelele
Kumbuka na hii ndio Zimbabwe ukitaka kushiba rudi kwenu
No comments:
Post a Comment
Angalia unapoandika usije kuleta machafuko
na hali ya sinto fahamu