Monday 5 December 2011

ALIKUWA RAIS AKAWA WAZIRI MKUU SASA RAIS TENA


Si mwengine bali V Putin.Baada ya uchaguzi ameibuka kuwa mshindi na chama chake kurudi tena Ikulu baada ya kushindwa kwenye uchaguzi uliopita na kumuwezesha rais aliepita kumchagua kuwa waziri mkuu.Gazeti moja maarufu la kila siku limedadavua ya kuwa Putini bado ni kipenzi cha wa Rusia na kiongozi mwenye kujua kazi yake ipasavyo KILA LA KHERI PUTIN

No comments:

Post a Comment

Angalia unapoandika usije kuleta machafuko
na hali ya sinto fahamu