Saturday 23 June 2012

Mandhali ya mji wa Bwagamoyo 1860

Hii picha ilipigwa miaka 30 iliyopita.
Ahsante kwa Ngwamba letu aliopo kwenye likizo
Tunakutakia likizo njema na furahia mandhali ya mji huo

Mfalme ndani Juger

Lilikuwa speed camera yetu imeshindwa kumnasa vizuri

MADAKTARI ACHENI KAZI SERIKALINI

Kugoma sio dawa ya tatizo.Dawa ni kuacha kazi ya kutumwa na serikali na kuungana kuanzisha Hospitali yenu itakayokizi mahitaji na iliyo bora.

Wengi wenu ni madaktari bingwa kwa nini msiombe mikopo mikubwa na kujiajili wenyewe kwa kuanzisha hospital yenu na kujilipa mishahara mikubwa..

Mkiwa na hospitali yenu mtanunua vifaa vya kisasa na wananchi watakuja kwenu na hata hao wanaotibiwa nje ya nchi pia watavutiwa na huduma zenu ziliboreshwa vzr.

Rejeeni kazini na mjipange upya.kuweni na mikakati endelevu kama wenzenu wa nchi nyengine ..

Wajulisheni wananchi mmeacha kazi ili muanzishe hospitali yenu yenye kiwango mtakacho lizika nacho.

Kimtazamo hamuigomei serikali mnamgomea yule raia alie lala na kulalama kwa maumivu uku ndugu yake akimuangalia akiteseka hadi kumfia mkononi mwake wakiwa wanaangaliana hali ameishaiaga dunia..

WASHKAJI KIBAO NDANI YA DAR LIVE



Friday 22 June 2012

MAHAKAMA KUU YAPIGILIA MSUMALI MGOMO WA MADAKTARI

Kufuatia Tangazo la Chama cha Madaktari nchini (MAT) la kuanza 
mgomo siku ya Jumamosi tarehe 23 Juni, 2012,
 Mahakama Kuu ya Tanzania,Kitengo cha kazi,Dar es Salaam imetoa amri ya kusitisha mgomo huo mpaka hapo pande zote mbili yaani Serikali na Chama cha 
Madaktari Tanzania (MAT) yatakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.
·        Amri hiyo ya Mahakama imetolewa kufuatia maombi namba 73 ya 2012 yaliyowasilishwa chini ya hati ya dharura na Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya Chama cha Madaktari Tanzania 
(MAT).
Sababu za msingi amabazo zimepelekea Mahakama kuu kutoa amri hiyo upande mmoja ni pamoja na;·       

*Iwapo mgomo huo utatokea utakuwa na kuwa amri hii isipotolewa madhara yake ni makubwa isiyoweza kufidiwa kwa namna yoyote ile kama vile kupoteza maisha n.k 
·         *
Wajibu maombi, ambao ni MAT, inaundwa na Madaktari ambao wapo katika Sekta ambayo inatoa huduma mahsusi (essential service sector),

Aidha Chama cha Madaktari Tanzania kimetangaza mgomo bila kufuatia taratibu zilizoanishwa katika Kifungu cha 76(1 na 2) cha Sheria ya Kazi (Employment and Labour Relations Act No 6 ya 2004.Masharti hayo ni ·       

 *Kuzuia wafanyakazi walio katika Sekta Muhimu kugoma na kama wakigoma, ·        

*Kuwepo na makubalianao ya pamoja ya kutoa huduma za msingi wakati mgomo ukiendelea. 

Kwa misingi hii, Mahakama Kuu ya Tanzania, kwa Chama cha Madktari Nchini, na wanachama wake, inaamuru kusitisha na kutoshiriki katika mgonmo huo.

UWEZI KUAMINI!APANDA KILIMANJARO KWA MIKONO

KIPUTE KIMEKWISHA GER 4-GRE 2

Atimae wajerumani wame wafungasha 

vilago wagiriki kwa bao 4 kwa 2...mbali na 

matatizo ya kisiasa yalijitokeza leo ambapo 

mashabiki wa Ugiriki walipomchora Bibi 

Mark akiwa na nembo ya Unazi kwenye mkono wake wa kulia na 

kusabisha hasira kwa wajerumani lakini mpira ulikuwa mzuri na 

nguvu kwa pande zote mbili.Hivyo Germany imesonga mbele na 

kuiacha Ugiriki kwenye mataa,

KWEUPE KAMA MJI USIO NA WATU

Raia wote wako makwao..wengine likizo na wengine wako vijini kutoa msongo wa jiji la Stockholm..Huu ndio mtaa maarufu na unakusanya watu wengi sana hapa sio usiku wala mchana mamia ya watu ujazana na wote wakionekana kwenye mishemishe za kila aina

NYUMBA YA WAGIRIKI INAZIDI KUMOKA


MPAKA SASA WASHAPIGWA BAO 4-1 NA DAKIKA NI 75

Thursday 21 June 2012

Wednesday 20 June 2012

RAIS ATAKA UUZWAJI WA BANGI NCHINI MWAKE

Ni Jose Mujica wa Uruguay...
Anataka kupeleka pendekezo la kuuza msuba kwenye kikao kijacho cha bunge,


Friday 15 June 2012

SERIKALI KUOTA KIALAZA KWA WAISLAM

Waislam nchini Tanzania wametangaza rasmi kuigomea sensa ya makazi na watu itakayo fanyika Agost mwaka huu kwa kutaka kuingizwa kipengele cha dini na kabila.Baraza kuu la Tanzania BAKWATA limetangaza rasmi kugomea sensa hiyo ikiwa ombi lao la kutaka kuingizwa kipengele iko ikiwa kama halitofanyiwa kazi..

Tuesday 12 June 2012

MCHEZO WA KUVUTA KAMBA

Familia zenye asili ya China wakutana na kufurahi kwa pamoja kwa mchezo wa kuvuta kamba
Picha maelezo msomaji wetu
Washindi kuondoka na kombe (Pichani)


Monday 11 June 2012

Sunday 10 June 2012



WAZIRI NA NAIBU WAKE  

WAFARIKI KWA

AJALI

Kenya's Internal Security ministers Prof 

George Saitoti and Orwa 

Ojode and five others are 

feared dead when a 

Police chopper crashed in 

Kibiku area in Ngong 

forest at 9am on Sunday, 

according to police sources.The two were heading to Orwa Ojode's Ndhiwa Constituency fora fund-raising.It's exactly four years when a chopper carrying MPs Kipkalya Kones and Lorna Laboso crashed in Narok.According to an eye witness, the helicopter was seen diving from the sky and full of smoke before crushing and exploding into flames."The Chopper was filled with smoke before it crashed. I heard two explosions as it went up in flames," said Rose Kwamboka.

Souce SUNDAY NATIONAL


Alikuwa mmoja kati ya wakao gombania urais 2012 nchini kenya

Saturday 9 June 2012

MADAKTAR KUKIWA KISHA TENA
wananchi roho juu
Wakutana jana na kutoa msimamo wao.kwenye mkutano huo ambao uliwashirikisha madaktari pamoja na viongozi wa chama chao walikubaliana kutangaza utata wa wiki mbili na baada ya hapo watakiwakisha ili kuishinikiza Serikali kuyapatia ufumbuzi madai yao.


 Walidai kuwa kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ilishindwa kuyatatua matatizo yao kwa kigezo kwamba Serikali haina mpunga wa kutosha ili itekeleza wanacho kidai.
 “Inasemekana hata ivyo  Serikali ingekuwa na fedha isingeweza kuongeza mishahara kama ambavyo tunataka kutokana na madai kwamba  wanachokita kitaambukiza watumishi wengine,”
            
 Madaktari hao walilalamika kwamba ahadi iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwenye mkutano wao uliofanyika ikulu na kuwataka warejee kazini baada ya mgomo waliofanya Januari mwaka huu, haikutekelezwa.
        BOB MAKANI HATUKO NAE TENA

Wa kwanza kulia ni Bob Makani amefariki dunia.Tunawatakia subra na uvumilivu viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa msiba huu mzito 
POLENI SANA
KIPAJI HAKIZEEKI

SIO URAIS TUU HATA KIKAPU PIA
Hakuna kujikweza

Obama na Mkewe wakiwa kwenye mbuga ya                           Photo by Pete Souza white house
Blue Ridge Parkway nje ya Asheville

GEMU LIMEKWISHA FC KILIMANJARO 4 WAO 3 TEHTEH
 BAADA YA MPIRA KWISHA
 PHOTO YA PAMOJA 
 UKUMBUSHO MUHIMU
 KAMA KAWA KAMA DAWA 
 KIUMBE IKO 
 HAPO VIPI
 WANASEMA FEYA PLEYYAA
BILA YA BABU YANGEKUWA MENGINE 
NA HII NDIO ZIMBABWE YA JOGOO MUGABE

Mmoja kati ya wenye kusoma ananena yalio moyoni,
Ilikuwa saa mbili asubuhi majira ya kwa Jogoo almaarufu kama Kidume Mugabe alipokwenda kufungua kinywa akiwa na kitu cha ONE HUNDRED TRILLION DOLLARS.mpango mzima ulikuwa hivi!chai moja andazi mbili na chapati yenye jina maarufu kitaa kile yaani chapati gazeti kwa wale wenye macho makali laiti kama utanyanyua usawa wa sura yako unaweza kumuona alie mbele yako...
Kwa kuwa yeye ni mzoefu upande wa kujiweka sawa panapo kuchwa akaagiza na arage ili mambo yawe sawa bin sawiya na mchana upite wima kama daladala lililouza kituo,
Mambo yote hayakuwa kama yalivyotarajiwa na badala yake HUNDRED TRILLION Ilimalizika na msela ajashiba na mchana haukuwa wenye kushedelele 
Kumbuka na hii ndio Zimbabwe ukitaka kushiba rudi kwenu

Friday 8 June 2012

ZUMA AKIKISUGUA KISIGO

Alie kwambia Rais ana mzuka kamuulize tena

CCM KUHUTUBIA JANGWANI LEO
Lengo ni kutoa msimamo  wa chama kuh muhstabali wa mambo yanayoligusa Taifa na pia kuh maisha ya watanzania
KILIMANJARO KUMSHIKISHA MTU ADABU KESHO.MPAMBANO UTAKUWEPO MITAA YA HUSBY KISTA
SAA 16:00 KUFIKA KWAKO NDIO USHINDI WA FC KILIMANJARO
                                   Picha na maelezo kwa hisani ya waziri mkuu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya kinyago cha faru, Balozi wa Canada nchini, Robert Orr ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar salaam Juni 5,2012 kuaga.
RAIS WA MALAWI AJIANDAA KUMKAMATA OMAR  AL BASHIR

                                                                                                                       UN PHOTO
SANAA NI ELIMU,NA HII NI MADRID
(Niko hapa kwa ajilio ya mapunziko ya wiki nenda hii)
NA ELIMU NI MAISHA YA MWANADAMU TOKA ALIPOJAZWA PUNZI MPAKA MWISHO WA MAISHA YAKE

Thursday 7 June 2012

SISI NA POROJO WENZETU WANA TENDA 
Hadithi njoo utamu kulea.hapo zamani za kale kulitokea nchi 
inayoitwa Porojo wakazi wa nchi hiyo kwa domo na mipango wajuzi 
kweli kuliko vitendo.Wengi wao wanaishi katika mji maarufu wa Liwaro
na liwe,Kama mgeni ndani ya mji wa Liwaro na liwe inapigi uwe muangarifu na mwenye makini na kanya boya za kila aina pamoja na mipango mingi ya wana wa Porojo kuliko wenye ujuzi wa kuongea na kutunga mambo hata yasio kuwepo.Wanataka ujenge Daraja moja kubwa toka sehemu ya jiji la Liwaro na liwe hadi kwenye kisiwa kilicho jirani ya jiji hilo uku wakifahamu ´fika uwe usemi wa wahenga 
MIPANGO CHI MATUMIZII..... 

Tuesday 5 June 2012

IBRAMOVIC APAKI KWENYE FUKWE ZA WASWIDI
Ni lile tajiri la Kirasia mwenye kumiliki boti ya kifahari duniani

 KWA WALE WAPENDA SHIRA
 Mpango mzima ndio huo hapo

ULINZI WA KUKATA NA MUNDU JIJINI LEO
 Hii ni helcopter ya usalam wa raia na mali zao

SMOKA PA STOCKHOLM
Kipindi cha summer ni miziki kila dakika hasara wewe tu na .......

Sunday 3 June 2012

JK YULE WA MIEMBE SABA YUKO VILE VILE
Si swala geni kwa wakazi wa Matimbwa.Kitopeni.Msata Kiwangwa na hata Bwagamoyo mjini
kwani Jakaya Kikwete licha ya kuwa Rais lakini tabia na mwenendo wake bado ni ule ule..JK ni mtu wa kujichanganya popote na yoyote iwe kwenye michezo ngoma za asili hata kwenye Zuna au bao..Picha imenikumbusha alipokuwa zamani na sasa halila JK Chafosa chaigoda
UKO FITI TUNAKUTAKIA KILA LA KHERI
Picha -IKULI


Saturday 2 June 2012

MWAKA WA MARAIS KWENDA JELA WAKAONE TAMU
Rais Mubarak jela maisha pamoja na waziri wake wa mambo ya ndani Habi Al Adly kwa kosa la mauaji ya waandama naji na makosa mengine
amekuwa rais wa pili kwenye mwezi huu kuhumiwa kwenda jela baada ya Tayla wa Liberia...