Friday 15 June 2012

SERIKALI KUOTA KIALAZA KWA WAISLAM

Waislam nchini Tanzania wametangaza rasmi kuigomea sensa ya makazi na watu itakayo fanyika Agost mwaka huu kwa kutaka kuingizwa kipengele cha dini na kabila.Baraza kuu la Tanzania BAKWATA limetangaza rasmi kugomea sensa hiyo ikiwa ombi lao la kutaka kuingizwa kipengele iko ikiwa kama halitofanyiwa kazi..

No comments:

Post a Comment

Angalia unapoandika usije kuleta machafuko
na hali ya sinto fahamu