Thursday 7 June 2012

SISI NA POROJO WENZETU WANA TENDA 
Hadithi njoo utamu kulea.hapo zamani za kale kulitokea nchi 
inayoitwa Porojo wakazi wa nchi hiyo kwa domo na mipango wajuzi 
kweli kuliko vitendo.Wengi wao wanaishi katika mji maarufu wa Liwaro
na liwe,Kama mgeni ndani ya mji wa Liwaro na liwe inapigi uwe muangarifu na mwenye makini na kanya boya za kila aina pamoja na mipango mingi ya wana wa Porojo kuliko wenye ujuzi wa kuongea na kutunga mambo hata yasio kuwepo.Wanataka ujenge Daraja moja kubwa toka sehemu ya jiji la Liwaro na liwe hadi kwenye kisiwa kilicho jirani ya jiji hilo uku wakifahamu ´fika uwe usemi wa wahenga 
MIPANGO CHI MATUMIZII..... 

No comments:

Post a Comment

Angalia unapoandika usije kuleta machafuko
na hali ya sinto fahamu