Sunday 3 June 2012

JK YULE WA MIEMBE SABA YUKO VILE VILE
Si swala geni kwa wakazi wa Matimbwa.Kitopeni.Msata Kiwangwa na hata Bwagamoyo mjini
kwani Jakaya Kikwete licha ya kuwa Rais lakini tabia na mwenendo wake bado ni ule ule..JK ni mtu wa kujichanganya popote na yoyote iwe kwenye michezo ngoma za asili hata kwenye Zuna au bao..Picha imenikumbusha alipokuwa zamani na sasa halila JK Chafosa chaigoda
UKO FITI TUNAKUTAKIA KILA LA KHERI
Picha -IKULI


No comments:

Post a Comment

Angalia unapoandika usije kuleta machafuko
na hali ya sinto fahamu