Friday 20 July 2012

KWA NINI KILA KUKICHA NI SISI TUU

Wakati ndio huu inabidi tujifunze kutokana na makosa...Meli ilifungiwa toka mwaka 2009 kusafirisha abiria sisi tukaenda kuinunu na kuanza kusafirisha abiria...
Vyombo vyetu vya usalama tuvisikia vikidai ilikuwa imechikiwa na haikuwa na tatizo kwa maana haikuwa na dosali ikaanza kazi na matokeo yake imeshindwa kumudu dharuba ya dakika kumi na kusabisha maelfu kufariki dunia.....Hivi lini sisi tutakaa chini na kuanza kusoma alama za nyakati?
NI WAKATI WA KUJIFUNZA KUTOKA NA MAKOSA 

No comments:

Post a Comment

Angalia unapoandika usije kuleta machafuko
na hali ya sinto fahamu