Tuesday 4 September 2012

AFRICA HAKUNA NJIA YA MKATO UKUAJI WA MIJI NA MAKAZI

Umoja wa Mataifa umeweka bayana kuwa hakuna njia ya mkato ya kukabilina na changamoto za kukuwa kwa miji zaidi ya kuwa na sera madhubuti za kuboresha na kupanua miji. Mwanzoni mwa karne ya 20 ni 2% tu ya watu ilikuwa ikiishi mijini. Leo ni 50%.

Picha pembeni ni jiji la Dar es salaam kama ilivyo naswa na ngwamba letu

No comments:

Post a Comment

Angalia unapoandika usije kuleta machafuko
na hali ya sinto fahamu