Tuesday 4 September 2012

MICHAEL DUNCAN TUTAKUKUMBUKA

Michael Clarke Duncan in The Green Mile
Galasa maarufu la cinema Michael Clarke mwana wa Duncan amefariki dunia baada ya 

kuugua kwa muda miezi mitatu kitandani kwa kusumbuliwa na ugonjwa wa 

moyo.Amekufa jijini Los Angeles siku ya jtatu 

Hakika mashabiki wake watamkumbuka kwa umahili wake wa kucheza cinema

No comments:

Post a Comment

Angalia unapoandika usije kuleta machafuko
na hali ya sinto fahamu