Friday, 8 June 2012


CCM KUHUTUBIA JANGWANI LEO
Lengo ni kutoa msimamo  wa chama kuh muhstabali wa mambo yanayoligusa Taifa na pia kuh maisha ya watanzania
KILIMANJARO KUMSHIKISHA MTU ADABU KESHO.MPAMBANO UTAKUWEPO MITAA YA HUSBY KISTA
SAA 16:00 KUFIKA KWAKO NDIO USHINDI WA FC KILIMANJARO
                                   Picha na maelezo kwa hisani ya waziri mkuu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya kinyago cha faru, Balozi wa Canada nchini, Robert Orr ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar salaam Juni 5,2012 kuaga.
RAIS WA MALAWI AJIANDAA KUMKAMATA OMAR  AL BASHIR

                                                                                                                       UN PHOTO
SANAA NI ELIMU,NA HII NI MADRID
(Niko hapa kwa ajilio ya mapunziko ya wiki nenda hii)
NA ELIMU NI MAISHA YA MWANADAMU TOKA ALIPOJAZWA PUNZI MPAKA MWISHO WA MAISHA YAKE

Thursday, 7 June 2012

SISI NA POROJO WENZETU WANA TENDA 
Hadithi njoo utamu kulea.hapo zamani za kale kulitokea nchi 
inayoitwa Porojo wakazi wa nchi hiyo kwa domo na mipango wajuzi 
kweli kuliko vitendo.Wengi wao wanaishi katika mji maarufu wa Liwaro
na liwe,Kama mgeni ndani ya mji wa Liwaro na liwe inapigi uwe muangarifu na mwenye makini na kanya boya za kila aina pamoja na mipango mingi ya wana wa Porojo kuliko wenye ujuzi wa kuongea na kutunga mambo hata yasio kuwepo.Wanataka ujenge Daraja moja kubwa toka sehemu ya jiji la Liwaro na liwe hadi kwenye kisiwa kilicho jirani ya jiji hilo uku wakifahamu ´fika uwe usemi wa wahenga 
MIPANGO CHI MATUMIZII..... 

Tuesday, 5 June 2012

IBRAMOVIC APAKI KWENYE FUKWE ZA WASWIDI
Ni lile tajiri la Kirasia mwenye kumiliki boti ya kifahari duniani

 KWA WALE WAPENDA SHIRA
 Mpango mzima ndio huo hapo

ULINZI WA KUKATA NA MUNDU JIJINI LEO
 Hii ni helcopter ya usalam wa raia na mali zao

SMOKA PA STOCKHOLM
Kipindi cha summer ni miziki kila dakika hasara wewe tu na .......

Sunday, 3 June 2012

JK YULE WA MIEMBE SABA YUKO VILE VILE
Si swala geni kwa wakazi wa Matimbwa.Kitopeni.Msata Kiwangwa na hata Bwagamoyo mjini
kwani Jakaya Kikwete licha ya kuwa Rais lakini tabia na mwenendo wake bado ni ule ule..JK ni mtu wa kujichanganya popote na yoyote iwe kwenye michezo ngoma za asili hata kwenye Zuna au bao..Picha imenikumbusha alipokuwa zamani na sasa halila JK Chafosa chaigoda
UKO FITI TUNAKUTAKIA KILA LA KHERI
Picha -IKULI


Saturday, 2 June 2012

MWAKA WA MARAIS KWENDA JELA WAKAONE TAMU
Rais Mubarak jela maisha pamoja na waziri wake wa mambo ya ndani Habi Al Adly kwa kosa la mauaji ya waandama naji na makosa mengine
amekuwa rais wa pili kwenye mwezi huu kuhumiwa kwenda jela baada ya Tayla wa Liberia...

Wednesday, 30 May 2012


Charles Taylor miaka 50 jela

Alie kuwa rais wa Liberia afungwa miaka 50 jela
ukijumrisha na umri aliokuwa nao ngumu kumethaa.. 
The Special Court for Sierra Leone has jailed former Liberian president Charles Taylor for 50 years for his role in aiding and abetting murder, acts of violent sexual abuse and using child soldiers in the Sierra Leone conflict of 1996 to 2002.

Sunday, 20 May 2012

Chalrs Taylor enzi za umwagaji damu
Somo la leo viongozi wetu ususan wa Afrika msijisahau mkiwa madarakani kwani cheo ni dhamana na unapojingiza chaka ujue kuna mwisho wake.Tusome kwa yaliyopita

Friday, 18 May 2012

 MTOTO AZALIWA AKIWA NA  QUR AN MKONONI


Allah akbar Allah akbar ilisikika mjini Lagos Nigeria mara baada ya kubaini kilichoshikiriwa mkononi ilikuwa Qur an tukufu kitabu kinachobainisha haki na batri kwa mujibu wa iman ya dini ya kiislam,Bibi na Mama mzazi wa mtoto huyo wote wamebadili dini na kuwa waislam mara baada ya maajabu hayo.
Mtoto amepewa jina Abdulwahab Olarewaju Babatunde
   



 Amesikika akisema  Alhaji  Ahmaad Olarewaju, who quoted the Holy Qura'n (Q41;53), “Allah said: “Soon will show them our signs in farthest part of the earth and among their own people until it become manifest to them that it is truth. It is not enough that the Lord is witness over all things.” ,