
Saturday, 8 September 2012
Thursday, 6 September 2012
ONYO PICHA HIZI ZA KUTISHA


TUKIO LA KUUWAWA DAUDI MWANGOSI AKIWA MIKONONI MWA WALINDA AMANI 2012 MJINI IRINGA
Picha hii ni kwa hisani ya mtandao.Bint akimuangalia baba yake Sheakh Aboud Rogo muhubiri wa dini ya kiislam mjini Mombasa Kenya aliepigwa risasi hivi karibuni haya ndio yaliojili Afrika mashariki...Tunaomba viongozi wetu kukemea haya mambo kwa nguvu zao zote

Tuesday, 4 September 2012
MICHAEL DUNCAN TUTAKUKUMBUKA
Galasa maarufu la cinema Michael Clarke mwana wa Duncan amefariki dunia baada ya
kuugua kwa muda miezi mitatu kitandani kwa kusumbuliwa na ugonjwa wa
moyo.Amekufa jijini Los Angeles siku ya jtatu
Hakika mashabiki wake watamkumbuka kwa umahili wake wa kucheza cinema
AFRICA HAKUNA NJIA YA MKATO UKUAJI WA MIJI NA MAKAZI
Picha pembeni ni jiji la Dar es salaam kama ilivyo naswa na ngwamba letu
ETI TUME YA NINI NA WAHUSIKA HAWA HAPA?
Mambo haya mpaka lini?mbona orodha inazidi kuongezeka,Songea.Arusha.Morogolo.Iringa na kwengineko
Monday, 20 August 2012
Tuesday, 24 July 2012
WAZO LA MDAU KWA MH SPIKA MAKANDA
Mdau anafunguka hivi ikiwa kama utoro unashamil Bungeni hadi kupelekea kukamishwa kwa bajeti kwa nini Spika asiwe anaita majina kabla ya kuanza kikao cha bunge na asie kuwepo aulizwe sababu zilizo mfanya asiwepo bungeni kama hazikuwa na umuhimu kwa taifa achapwe viboko kama kwenye shule za msingi enzi zile.Kwani kitendo cha kusaini uwenda kukawa na kajimchemzo fulani kisicho faa
Friday, 20 July 2012
KWA NINI KILA KUKICHA NI SISI TUU
Wakati ndio huu inabidi tujifunze kutokana na makosa...Meli ilifungiwa toka mwaka 2009 kusafirisha abiria sisi tukaenda kuinunu na kuanza kusafirisha abiria...
Vyombo vyetu vya usalama tuvisikia vikidai ilikuwa imechikiwa na haikuwa na tatizo kwa maana haikuwa na dosali ikaanza kazi na matokeo yake imeshindwa kumudu dharuba ya dakika kumi na kusabisha maelfu kufariki dunia.....Hivi lini sisi tutakaa chini na kuanza kusoma alama za nyakati?
NI WAKATI WA KUJIFUNZA KUTOKA NA MAKOSA
Subscribe to:
Posts (Atom)
