Thursday, 6 September 2012

UJENZI BAGAMOYO ROAD UNAVYOENDELEA

Ujenzi wa barabara ya Bagamoyo unazidi kusonga mbele na wenye matumaini makubwa licha ya foleni za hapa na pale lakini mambo mswano

ONYO PICHA HIZI ZA KUTISHA


TUKIO LA KUUWAWA DAUDI MWANGOSI AKIWA MIKONONI MWA WALINDA AMANI 2012 MJINI IRINGA


Picha hii ni kwa hisani ya mtandao.Bint akimuangalia baba yake Sheakh Aboud Rogo muhubiri wa dini ya kiislam mjini Mombasa Kenya aliepigwa risasi hivi karibuni haya ndio yaliojili Afrika mashariki...Tunaomba viongozi wetu kukemea haya mambo kwa nguvu zao zote

Tuesday, 4 September 2012

MICHAEL DUNCAN TUTAKUKUMBUKA

Michael Clarke Duncan in The Green Mile
Galasa maarufu la cinema Michael Clarke mwana wa Duncan amefariki dunia baada ya 

kuugua kwa muda miezi mitatu kitandani kwa kusumbuliwa na ugonjwa wa 

moyo.Amekufa jijini Los Angeles siku ya jtatu 

Hakika mashabiki wake watamkumbuka kwa umahili wake wa kucheza cinema

AFRICA HAKUNA NJIA YA MKATO UKUAJI WA MIJI NA MAKAZI

Umoja wa Mataifa umeweka bayana kuwa hakuna njia ya mkato ya kukabilina na changamoto za kukuwa kwa miji zaidi ya kuwa na sera madhubuti za kuboresha na kupanua miji. Mwanzoni mwa karne ya 20 ni 2% tu ya watu ilikuwa ikiishi mijini. Leo ni 50%.

Picha pembeni ni jiji la Dar es salaam kama ilivyo naswa na ngwamba letu

Zetu dua unyonge una mwisho wake


KURA YA MAONI

Ni halali Polisi kutumia nguvu kupita kiasi?


 
 
 
 

Lango la dhahabu lenye ulinzi wa chuma

Lango kuu la dhahabu kwenye bustan mwanana yenye mandhali kuvutia ndani ya himaya malkia Victoria wa Scundanavia

ETI TUME YA NINI NA WAHUSIKA HAWA HAPA?


Mambo haya mpaka lini?mbona orodha inazidi kuongezeka,Songea.Arusha.Morogolo.Iringa na kwengineko 

Leo tuko shamba

Kwa mapicha na manyuzi ya shambazz yatakuwepo kama dawa kama kawa

Tuesday, 24 July 2012

WAZO LA MDAU KWA MH SPIKA MAKANDA


Mdau anafunguka hivi ikiwa kama utoro unashamil Bungeni hadi kupelekea kukamishwa kwa bajeti  kwa nini Spika asiwe anaita majina kabla ya kuanza kikao cha bunge na asie kuwepo aulizwe sababu zilizo mfanya asiwepo bungeni kama hazikuwa na umuhimu kwa taifa achapwe viboko kama kwenye shule za msingi enzi zile.Kwani kitendo cha kusaini uwenda kukawa na kajimchemzo fulani kisicho faa 

Friday, 20 July 2012

KWA NINI KILA KUKICHA NI SISI TUU

Wakati ndio huu inabidi tujifunze kutokana na makosa...Meli ilifungiwa toka mwaka 2009 kusafirisha abiria sisi tukaenda kuinunu na kuanza kusafirisha abiria...
Vyombo vyetu vya usalama tuvisikia vikidai ilikuwa imechikiwa na haikuwa na tatizo kwa maana haikuwa na dosali ikaanza kazi na matokeo yake imeshindwa kumudu dharuba ya dakika kumi na kusabisha maelfu kufariki dunia.....Hivi lini sisi tutakaa chini na kuanza kusoma alama za nyakati?
NI WAKATI WA KUJIFUNZA KUTOKA NA MAKOSA